Marwa Khmiri
Mandhari
Marwa Khmiri ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tunisia. Anacheza kama beki wa Klabu ya ASF Sahel pamoja na timu ya taifa ya wanawake ya Tunisia.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Duret, Sébastien (25 Juni 2009). "Equipe de France A' - France-Tunisie 2-1". Footofeminin.fr (kwa Kifaransa). Iliwekwa mnamo 12 Agosti 2021.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Marwa Khmiri kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |