Martha Nasibu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Martha Nasibù (Addis Ababa, 28 Oktoba 1931 - 23 Machi 2019)[1] alikuwa mwandishi na msanii kutoka Ethiopia aliyeishi Ufaransa. Jina lake pia linaonekana kama Nassibou.

Binti wa Nasibu Zeamanuel, alizaliwa Addis Ababa, akahamia Italia mnamo mwaka 1936 akasoma katika chuo cha sanaa cha Académie des Beaux huko Paris na Arts Student League ya New York.

Maonyesho yake ya kwanza ya kazi yalipangwa na wizara ya elimu na sanaa ya Ethiopia mnamo mwaka 1945. Nasibù alikuwa mwanachama mwanzilishi wa klabu ya wasanii ya Ethiopia ,Anaishi Perpignan na Sanaa yake imejumuishwa katika mkusanyiko wa jumba la kumbukumbu la kitaifa la Ethiopia. Sanaa yake imejumuishwa katika mkusanyiko wa jumba la kumbukumbu la kitaifa la Ethiopia.

Mnamo 2005, alichapisha Memorie di una Principessa etiope, ambayo inaelezea uvamizi wa Ethiopia na Wafashisti wa Italia. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Genealogy: Marchesa Martha Nassibou". Tortora Brayda di Belvedere. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 29 January 2019. Iliwekwa mnamo 26 March 2022.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. Bouchard, N; Ferme, V (2013). Italy and the Mediterranean: Words, Sounds, and Images of the Post-Cold War Era. ISBN 978-1137343468. 
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Martha Nasibu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.