Nenda kwa yaliyomo

Mariam Lamizana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mariam Lamizana (alizaliwa Bobo-Dioulasso, Burkina Faso, 1951 ni mtoto wa kike wa Sangoulé Lamizana, Afisa wa jeshi aliyewahi kuwa rais wa Volta ya Juu miaka 1966 - 1980.[1][2] Ni mwanakampeni aliyepinga ukeketwaji kwa watoto wa kike, Lazimana alikuwa ni raisi wa kwanza wa Kamati ya Kitaifa ya Kupambana na Ukata(CNLPE), pia ni Raisi baina ya mabaraza ya kiafrika kwenye Taratibu za Kimila Zinazoathiri Afya ya Wanawake na Watoto(IAC).Ametumikia serikali ya Burkina Faso kama Waziri wa Shughuli za Jamii na Mshikamano wa Kitaifa tangu mnamo 2001 mpaka 2002.[3][4][5]

  1. Mariam Lamizana: Her fight against excision
  2. European Parliament, Sakharov Prize 2009: names of ten candidates unveiled, 30 September 2009. Accessed 30 July 2020.
  3. Jean-Michel Hauteville, Mariam Lamizana: « Il n’y a pas de recette miracle en matière de lutte contre l’excision » , Jeune Afrique, 6 February 2014.
  4. 28 Too Many, Country Profile: FGM in Burkina Faso, December 2015, p.7. Accessed 30 July 2020.
  5. Emmanuelle Roussiot, Trois questions à... Mariam Lamizana Archived 2022-01-19 at the Wayback Machine, Excision, parlons-en!, 24 June 2013. Accessed 30 July 2020.