Maria Tebbo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maria Tebbo
Maria Tebbo Cover
Studio album ya Sam Mangwana
Imetolewa 1979
Imerekodiwa 1979
Aina Soukous
Lebo Systeme Art Musique
Mtayarishaji B. Nyati


"Maria Tebbo " ni jina la albamu iliyotoka mwaka 1979 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sam Mangwana. Albamu ina nyimbo nne tu, upande A 2 na upande B 2. Albamu ilitolewa katika muundo wa Vinyl (LP). Kazi ya utayarishwaji ilifanywa huko mjini Abidjan, Cote d'Ivoire, chini ya Internation Sam Production. Mtindo uliotumiwa humu kwa nyakati hizo uliitwa "highlife". Wimbo maarufu ni huohuo Maria Tebbo.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Zifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.

  • A1 - Maria Tebbo
  • A2 - Lingala
  • B1 - Zimbabwe
  • B2 - Bana Ba Cameroun

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]