Maria Ndilla Kangoye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maria Ndilla Kangoye (amezaliwa tarehe 21 Oktoba 1985) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalumu kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017