Marc Chagall
Marc Chagall (6 Julai 1887 – 28 Machi 1985) alikuwa msanii wa Kiyahudi kutoka Urusi aliyehamia Ufaransa na kupata umaarufu.
Chagall alikuwa mchoraji wa mwelekeo wa halisia-nafsi (expressionist).
Michoro yake[hariri | hariri chanzo]
- Image-Chagall Fiddler.jpg
Mpiga fidla
- Marc Chagall, 1911-12, The Drunkard (Le saoul), 1912, oil on canvas. 85 x 115 cm. Private collection.jpg
mlevi, 1912
- Marc Chagall, 1912, Le Marchand de bestiaux (The Drover, The Cattle Dealer), oil on canvas, 97.1 x 202.5 cm, Kunstmuseum Basel.jpg
Mwuuzaji mifugo 1912
- Marc Chagall, 1912, Calvary (Golgotha) Christus gewidmet, oil on canvas, 174.6 x 192.4 cm, Museum of Modern Art, New York.jpg
Golgota
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Marc Chagall kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |