Maporomoko ya Maji Materuni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maporomoko ya Maji Materuni.

Maporomoko ya Maji Materuni ni moja ya maporomoko ya maji katika Mto Mware (kata ya Uru Mashariki, Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania Kaskazini Mashariki). Yanapatikana katika kijiji cha Materuni pembezoni mwa hifadhi ya mlima Kilimanjaro.[1]

Mtalii wa ndani akifurahia Maporomoko ya Maji Materuni.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-09-22. Iliwekwa mnamo 2020-01-31.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons