Manuel Uribe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Manuel Uribe Garza (Monterrey, Nuevo León, 11 Juni 1965 - Monterrey, Nuevo León, Mei 26, 2014) alikuwa mtu wa huko Mexico, mgonjwa wa utapiamlo, mwenye unene wa kupindukia. Alikuwa mwanadamu mnene kuliko wote duniani.

Baada ya kufikia karibu kilo 597 (lb 1,316) na hakuwa na uwezo wa kuondoka kitandani tangu 2001, Uribe alipoteza takribani kilo 181 (lb 399). Ilikuwa ni theluthi moja ya uzito wa mwili wake. Alifanya hivyo kwa msaada wa madaktari na wanalishe.

Uribe alikufa akiwa na umri wa miaka 48 kutokana na kushindwa kwa ini. Wakati wa kifo chake, Uribe alikuwa mtu wa tatu duniani.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Manuel Uribe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.