Magofu ya Kichokochwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Magofu ya Kichokochwe (Magofu ya mji wa kale wa Kichokochwe) ni magofu yanayopatikana katika maeneo ya kihistoria yaliyohofadhiwandani ya wilaya ya Wete iliyopo mkoani Pemba kaskazini nchini Tanzania. Maeneo haya ni sehemu ya mabaki ya makazi ya Waswahili yakiwa na majengo kama Msikiti pamoja na Makaburi.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Schacht, J. (1961). "Further Notes on the Staircase Minaret". Ars Orientalis 4: 137–141. ISSN 0571-1371. 
  2. http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2