Mae Caine

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mae Caine (Machi 15, 187224 Agosti 1955) alikuwa Mmarekani wa karne ya 20 na mwanaharakati wa haki za wanawake, kiongozi wa raia, na afisa wa serikali huko Nevada. alikua raisi wa jumuiya ya wasuluhishi na watetezi wa haki za wanawake huko Elko County.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Fry, Amelia R. “Mabel Vernon: Speaker for Suffrage and Petitioner for Peace,” p. 565, in “Suffragists Oral History Project.” Berkeley, California: Bancroft Library, University of California, Berkeley, 1976.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mae Caine kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.