Matokeo ya utafutaji

Showing results for nabii. No results found for Nafio.
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Thumbnail for Nabii
    Neno nabii (kwa Kiebrania נביא nevì, kwa wingi נְבִיאִים nevi'ìm, kwa Kiarabu نبي) linatumika kumtajia binadamu anayesema kwa niaba ya Mungu, hasa kwa...
    3 KB (maneno 294) - 16:14, 11 Machi 2013
  • Thumbnail for Nabii Nathani
    Nabii Nathani (kwa Kiebrania נתן הנביא) aliishi nchini Israeli kwenye mwaka 1000 hivi KK na habari zake zinasimuliwa katika Biblia, hasa 2Sam, 1Fal, 1Nya...
    2 KB (maneno 244) - 07:05, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii Yona
    au يونان, Yūnān ; kwa Kilatini: Ionas; alifariki 761 KK hivi) ni jina la nabii wa Israeli aliyeishi katika karne ya 8 KK. Pia ni jina la mhusika mkuu wa...
    2 KB (maneno 169) - 12:01, 12 Februari 2024
  • Thumbnail for Nabii Yoeli
    Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK. Ujumbe wake unapatikana...
    1 KB (maneno 94) - 07:04, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Isa
    Isa (elekezo toka kwa Nabii Isa)
    mbalimbali ni Taurati kwa Nabii Musa, Zaburi kwa Nabii Daudi, Injili kwa Nabii Isa, na Qurani kwa Nabii Muhammad. Kitabu cha Nabii Isa kiliteremshiwa Wayahudi...
    8 KB (maneno 1,221) - 13:33, 24 Aprili 2022
  • Thumbnail for Nabii Eliya
    Kiarabu إلياس, Ilyās), alikuwa nabii katika Ufalme wa Israeli wakati wa wafalme Ahabu na Ahazia (karne ya 9 KK). Habari za nabii huyo maarufu sana katika Biblia...
    9 KB (maneno 1,156) - 14:19, 8 Machi 2024
  • Thumbnail for Nabii Nahumu
    Nabii Nahumu (kwa Kiebrania נחום, yaani "Aliyefarijiwa na Mungu") alikuwa nabii mjini Yerusalemu katika karne ya 7 KK, wakati wa mfalme Yosia, aliyetawala...
    2 KB (maneno 178) - 07:01, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii Obadia
    Nabii Obadia (jina la Kiebrania lenye maana ya "Mtumishi wa YHWH) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale baada ya Yerusalemu kutekwa na kuteketezwa na Wababuloni...
    909 bytes (maneno 85) - 07:00, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii wa uongo
    Katika dini, nabii wa uongo ni mtu anayejidai kuwa na karama ya unabii lakini hakubaliwi na wale wanaomuita hivyo. Anaweza kuwa nabii kweli, au kujidanganya...
    520 bytes (maneno 50) - 08:55, 8 Novemba 2013
  • Thumbnail for Nabii Mika
    Nabii Mika, ambaye jina lake la Kiebrania מיכה linamaanisha "Nani kama Mungu?", alifanya kazi wakati mmoja na nabii Isaya (miaka 740-700 hivi K.K.). Tangu...
    2 KB (maneno 229) - 07:00, 1 Januari 2023
  • Nabii Yehu (kwa Kiebrania יֵהוּא, Yēhû, maana yake: "YHWH ni mwenyewe"; alizaliwa karne ya 10 KK) alikuwa nabii nchini Israeli katika karne ya 9 KK. Alikuwa...
    1 KB (maneno 129) - 06:09, 8 Mei 2023
  • Thumbnail for Nabii Shemaya
    Nabii Shemaya (kwa Kiebrania שְׁמַעְיָה, Šəmaʿyā, maana yake: "YHWH amesikia"; alikuwa nabii nchini Israeli katika karne ya 10 KK. Chanzo kikuu cha historia...
    2 KB (maneno 154) - 07:01, 1 Januari 2023
  • Nabii Gadi alikuwa nabii wa Israeli wakati wa Mfalme Daudi (mnamo mwaka 1000 KK hivi). Habari zake zinapatikana katika Biblia, kuanzia 1Sam 22:5, alipomuambia...
    817 bytes (maneno 98) - 21:23, 2 Aprili 2013
  • Thumbnail for Nabii Azaria
    Nabii Azaria (jina la Kiebrania עֲזַרְיָה, ‘Ǎzaryā, lina maana ya "YHWH amesaidia"; alizaliwa karne ya 10 KK) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale ambaye...
    965 bytes (maneno 85) - 06:56, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii Hagai
    Nabii Hagai (kwa Kiebrania חַגַּי, Ḥaggay au "Hag-i", yaani Sikukuu yangu; kwa Kigiriki: Ἀγγαῖος; kwa Kilatini Aggeus) ni mmojawapo kati ya manabii wa...
    2 KB (maneno 174) - 06:58, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii Zekaria
    kwa Kilatini Zacharias; kwa Kiarabu زكريا Zakariya au Zakkariya) alikuwa nabii wa Mungu mjini Yerusalemu kati ya mwaka 520 KK na 518 KK. Habari zake zinapatikana...
    4 KB (maneno 447) - 09:41, 13 Mei 2024
  • kitakatifu cha Uhindu. Nabii Amosi katika Israeli kaskazini Nabii Hosea katika Israeli kaskazini Nabii Isaya huko Yerusalemu Nabii Mika katika ufalme wa...
    1 KB (maneno 167) - 06:46, 11 Desemba 2022
  • Nabii Oded (jina la Kiebrania עוֹדֵד, ‘Ōḏêḏ; alizaliwa karne ya 8 KK) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale ambaye habari zake zinapatikana katika Kitabu cha...
    1 KB (maneno 103) - 07:00, 1 Januari 2023
  • Thumbnail for Nabii Baruku
    Nabii Baruku mwana wa Neria (kwa Kiebrania ברוך בן נריה) alikuwa mwandishi wa karne ya 6 KK, maarufu kama karani, mwanafunzi na rafiki mpendwa wa nabii...
    3 KB (maneno 321) - 23:34, 2 Februari 2024
  • chake kama nabii Yeremia na wengineo wanavyobashiri. 641 KK-609 KK: Mfalme Yosia huko Yerusalemu Nabii Sefania katika ufalme wa Yuda. Nabii Yeremia katika...
    2 KB (maneno 258) - 11:45, 2 Novemba 2016
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)