Nabii Mika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nabii Mika kadiri ya Gustave Doré.

Nabii Mika, ambaye jina lake la Kiebrania מיכה linamaanisha "Nani kama Mungu?", alifanya kazi wakati mmoja na nabii Isaya (miaka 740-700 hivi K.K.).

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 21 Desemba[1] na 14 Agosti, lakini pia 14 Januari, 18 Januari na 31 Julai[2].

Ujumbe[hariri | hariri chanzo]

Ujumbe wake unajulikana kupitia kitabu chenye jina lake katika gombo la Manabii Wadogo (Kitabu cha Mika)

Humo tunasoma kwamba yeye, kama vile Isaya, alitetea haki za wanyonge (2:1-11) na kutabiri adhabu.

Lakini hasa alitabiri juu ya Masiya, kwamba atazaliwa Bethlehemu (5:1-3), tunavyosoma katika Injili ya Mathayo kuhusu uzazi wa Yesu Kristo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Delbert R. Hillers, Micah (Minneapolis, Fortress Press, 1984) (Hermeneia).
  • Bruce K. Waltke, A Commentary on Micah (Grand Rapids, Eerdmans, 2007).
  • Mignon Jacobs, Conceptual Coherence of the Book of Micah (Sheffield, Sheffield Academic Press, 2009).
  • Yair Hoffman, "The Wandering Lament: Micah 1:10-16," in Mordechai Cogan and Dan`el Kahn (eds), Treasures on Camels' Humps: Historical and Literary Studies from the Ancient Near East Presented to Israel Eph`al (Jerusalem, Magnes Press, 2008),

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nabii Mika kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.