Matokeo ya utafutaji
Mandhari
- Tanzania (jina rasmi: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) ni nchi iliyoko Afrika ya Mashariki, ndani ya ukanda wa maziwa makuu ya Afrika. Imepakana na Uganda...49 KB (maneno 5,152) - 11:57, 23 Aprili 2024
- Mwaka ni kipindi cha takriban siku 365 katika Kalenda ya Gregori ambayo imekuwa kalenda ya kawaida kimataifa ikifuata mwendo wa jua. Katika kalenda za...3 KB (maneno 487) - 05:39, 18 Septemba 2022
- Maji ni kimiminika ambacho ni kiini cha uhai wowote duniani na pia kiini cha utamaduni wa binadamu. Hakuna mtu anayeweza kuishi bila maji kwa sababu asilimia...6 KB (maneno 732) - 14:43, 10 Novemba 2023
- Wayback Machine ni tovuti ambayo inatunza kurasa za tovuti za zamani. Inaruhusu kuangalia tovuti ambazo haziko tena au kuangalia maudhui ambayo yamebadilishwa...1 KB (maneno 125) - 05:30, 12 Septemba 2021
- Mji ni mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia...3 KB (maneno 365) - 16:35, 18 Machi 2024
- Katika mabara, lile lenye nchi nyingi zaidi ni Afrika likiwa na nchi au madola 54, likifuatiwa na bara la Ulaya likiwa na madola 48, kisha Asia likiwa...8 KB (maneno 827) - 23:11, 9 Agosti 2022
- Mto Kagera (kwa Kinyarwanda: Akagera) ni kati ya mito inayounda mto Nile, pia ni mto mkubwa kabisa wa kuingia ziwa la Viktoria Nyanza. Unaanzia Burundi...2 KB (maneno 133) - 12:44, 16 Julai 2019
- Hii Orodha ya Watakatifu Wakristo inataja kwa utaratibu wa alfabeti baadhi ya Watakatifu, yaani watu wanaoheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo...255 KB (maneno 318) - 13:52, 24 Aprili 2024
- Mto Mogunga (Kisii) ni jina la miwili kati ya mito inayopatikana katika kaunti ya Kisii, magharibi mwa Kenya (kwenye ziwa Nyanza). Maji yake yanaishia...523 bytes (maneno 45) - 12:49, 9 Agosti 2018
- Mto Dawa unapatikana nchini Ethiopia na unaunda mpaka wake na Kenya na Somalia. Ni tawimto la mto Juba ambao unaishia katika Bahari ya Hindi nchini Somalia...409 bytes (maneno 26) - 12:41, 26 Julai 2020
- Mito ya Kenya ni mingi; humu imeorodheshwa baadhi tu pamoja na matawimto: kulingana na beseni lake (kadiri inavyoelekeza maji yake katika Bahari ya Hindi...106 KB (maneno 9,616) - 14:14, 7 Septemba 2021
- Mto Sondu (au mto Miriu) unapatikana nchini Kenya na unaishia katika ziwa Viktoria, ukichangia hivyo mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati. Mito ya Kenya...385 bytes (maneno 27) - 12:16, 16 Novemba 2018
- Mto Tudor Creek unapatikana Kenya. Una urefu wa kilometa 32, kati ya Mariakani na Mombasa unapoingia katika Bahari ya Hindi....317 bytes (maneno 20) - 10:35, 9 Machi 2020
- Kiingereza ni lugha ya jamii ya Kigermanik cha Magharibi iliyokua nchini Uingereza kwa muda wa miaka 1,400. Leo, zaidi ya wasemaji milioni mia nne duniani...9 KB (maneno 942) - 12:08, 4 Oktoba 2023
- Mto Turkwel (pia: Turkwell) unapatikana katika kaunti ya Turkana nchini Kenya na unaishia katika ziwa Turkana, lililo kubwa kuliko maziwa yote ya jangwani...2 KB (maneno 255) - 16:52, 2 Novemba 2021
- Ukristo (kutoka neno la Kigiriki Χριστός, Khristos, ambalo linatafsiri lile la Kiebrania מָשִׁיחַ, Māšîăḥ, linalomaanisha "Mpakwamafuta" ) ni dini inayomwamini...63 KB (maneno 8,120) - 02:57, 29 Aprili 2024
- Watakatifu wa Agano la Kale ni watu walioishi kabla ya Kristo ambao wanaheshimiwa na Wakristo wengi, na pengine na Waislamu n.k. Baadhi yao ni: Abeli Abrahamu...1 KB (maneno 95) - 12:24, 24 Desemba 2022
- Mto Ewaso Ng'iro wa Kusini unapatikana nchini Kenya na unaishia katika ziwa Natron nchini Tanzania. Mito ya Kenya Mito ya Tanzania Geonames.org...462 bytes (maneno 23) - 12:42, 26 Julai 2020
- Mto Ragati unapatikana katika kaunti ya Kirinyaga, katikati ya Kenya. Ni tawimto la mto Sagana, ambao unaingia katika mto Tana ambao ndio mrefu kuliko...549 bytes (maneno 44) - 12:16, 5 Oktoba 2018
- Mto Mutonga ni jina la mito mbalimbali: Mto Mutonga (Tharaka-Nithi) nchini Kenya Mto Mutonga (Kwanza Sul) nchini Angola Mto Mutonga (Kasai Magharibi) katika...237 bytes (maneno 29) - 11:32, 3 Desemba 2018
- wingi hali ya vitu kuwa zaidi ya moja akthari Kiingereza: plural (en) wingi