Granada : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
picture in much higher resolution without tilted columns |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Spain Andalusia Granada BW 2015-10-25 17-28-47.jpg|thumb|400px|Uwanja wa simba katika Alhambra mjini Granada]] |
[[Picha:Spain Andalusia Granada BW 2015-10-25 17-28-47.jpg|thumb|400px|Uwanja wa simba katika Alhambra mjini Granada]] |
||
[[Picha:GranadaCathedralSideDoor.jpg|thumb|400px|Mlango wa kanisa kuu la Granada]] |
[[Picha:GranadaCathedralSideDoor.jpg|thumb|400px|Mlango wa kanisa kuu la Granada]] |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
Mji una majengo mashuhuri sana kama vile [[Alhambra]] na makanisa yake. |
Mji una [[Jengo|majengo]] mashuhuri sana, kama vile [[Alhambra]] na [[Kanisa|makanisa]] yake. |
||
Kati ya miaka [[711]] na [[1492]] ilitawaliwa na [[Waarabu]]. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya [[Historia|kihistoria]] hadi leo hii. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
* [http://www.alhambradegranada.org/default_en.asp Detailed information about the Alhambra] |
* [http://www.alhambradegranada.org/default_en.asp Detailed information about the Alhambra] |
||
* [http://www.granadatur.com/en Tourist Information of Granada] |
* [http://www.granadatur.com/en Tourist Information of Granada] |
Pitio la 14:18, 26 Aprili 2016
Granada ni mji kusini mwa Hispania, kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000.
Uko miguuni pa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.
Mji una majengo mashuhuri sana, kama vile Alhambra na makanisa yake.
Kati ya miaka 711 na 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Granada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |