Mchemraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[File:Cube.svg|thumb|150px|Mchemraba huwa na pande 6 zenye urefu na upana sawa]] |
[[File:Cube.svg|thumb|150px|Mchemraba huwa na pande 6 zenye urefu na upana sawa]] |
||
[[Picha:120px-Hexahedron-slowturn.gif|150px|thumbnail|Mchemraba ukizunguka]] |
[[Picha:120px-Hexahedron-slowturn.gif|150px|thumbnail|Mchemraba ukizunguka]] |
||
'''Mchemraba''' ni gimba lenye pande sita [[mraba]]. Ni |
'''Mchemraba''' ni [[gimba]] lenye pande sita [[mraba]]. Ni aina ya pekee ya [[mchestatili]]. |
||
*Una pembe 8 ambazo zote ni [[pembemraba]] na urefu, upana na kimo vyote ni sawa. |
*Una [[pembe]] 8 ambazo zote ni [[pembemraba]] na [[urefu]], [[upana]] na [[kimo]] vyote ni sawa. |
||
*Una kona 12 sawa na nne-nne kati ya hizi ziko sambamba |
*Una [[kona]] 12 sawa na nne-nne kati ya hizi ziko [[sambamba]] |
||
== Mjao == |
== Mjao == |
||
* [[Mjao]] wa mchemraba unapatikana kwa kuzidisha urefu kwa upana kwa kimo. Kwa sababu hapo |
* [[Mjao]] wa mchemraba unapatikana kwa kuzidisha urefu kwa upana kwa kimo. Kwa sababu hapo pande zote ni sawa inatosha kuzidisha upande wowote mara tatu. |
||
*Mfano: urefu wa upande wa mchemraba ni sentimita 2 unapiga hesabu ya 2<sup>3</sup> = 2x2x2 = 8 cm<sup>3</sup> (=sentimita mjazo). |
*Mfano: urefu wa [[upande]] wa mchemraba ni [[sentimita]] 2 unapiga hesabu ya 2<sup>3</sup> = 2x2x2 = 8 cm<sup>3</sup> (=sentimita mjazo). |
||
[[Picha:Hexahedron flat color.svg|thumbnail|120px|Mchemraba ukifunguliwa]] |
[[Picha:Hexahedron flat color.svg|thumbnail|120px|Mchemraba ukifunguliwa]] |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
*[http://www.mathopenref.com/cubevolume.html Volume of a cube], with interactive animation |
*[http://www.mathopenref.com/cubevolume.html Volume of a cube], with interactive animation |
||
*[http://www.software3d.com/Cube.php Cube] (Robert Webb's site) |
*[http://www.software3d.com/Cube.php Cube] (Robert Webb's site) |
||
{{mbegu}} |
|||
[[Category:Jiometria]] |
[[Category:Jiometria]] |
Pitio la 07:53, 11 Aprili 2015
Mchemraba ni gimba lenye pande sita mraba. Ni aina ya pekee ya mchestatili.
- Una pembe 8 ambazo zote ni pembemraba na urefu, upana na kimo vyote ni sawa.
- Una kona 12 sawa na nne-nne kati ya hizi ziko sambamba
Mjao
- Mjao wa mchemraba unapatikana kwa kuzidisha urefu kwa upana kwa kimo. Kwa sababu hapo pande zote ni sawa inatosha kuzidisha upande wowote mara tatu.
- Mfano: urefu wa upande wa mchemraba ni sentimita 2 unapiga hesabu ya 23 = 2x2x2 = 8 cm3 (=sentimita mjazo).
Eneo la uso
Mchemraba huwa na pande sita sawa. Hivyo eneo la uso wake ni eneo la upande moja mara 6.
- Mfano: Mchemraba una urefu wa sentimita mbili. Hivyo kila upande una 2x2 = 4 sm2 mara 6 = 24 sm 2.
Viungo vya Nje
- Cube: Interactive Polyhedron Model*
- Volume of a cube, with interactive animation
- Cube (Robert Webb's site)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |