Ernst Ruska : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: id:Ernst Ruska |
d robot Adding: it:Ernst Ruska |
||
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
[[id:Ernst Ruska]] |
[[id:Ernst Ruska]] |
||
[[io:Ernst Ruska]] |
[[io:Ernst Ruska]] |
||
[[it:Ernst Ruska]] |
|||
[[ja:エルンスト・ルスカ]] |
[[ja:エルンスト・ルスカ]] |
||
[[oc:Ernst Ruska]] |
[[oc:Ernst Ruska]] |
Pitio la 20:56, 19 Novemba 2007
Ernst August Friedrich Ruska (25 Desemba, 1906 – 27 Mei, 1988) alikuwa fundisanifu wa umeme kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa kubuni hadubini ya elektroni. Mwaka wa 1986, pamoja na Gerd Binnig na Heinrich Rohrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |