Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza eu:Koiné
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 41 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q107358 (translate me)
Mstari 8: Mstari 8:


[[Jamii:Lugha za Kihindi-Kiulaya]]
[[Jamii:Lugha za Kihindi-Kiulaya]]

[[an:Griego helenistico]]
[[ar:كوينه]]
[[ast:Koiné]]
[[bg:Койне]]
[[ca:Grec koiné]]
[[ckb:گریکی کوەینە]]
[[cs:Koiné]]
[[da:Koiné]]
[[de:Koine]]
[[el:Ελληνιστική Κοινή]]
[[en:Koine Greek]]
[[eo:Kojnea greka lingvo]]
[[es:Koiné]]
[[et:Koinee]]
[[eu:Koiné]]
[[fi:Koinee]]
[[fr:Koinè (grec)]]
[[gl:Koiné]]
[[he:קוינה]]
[[ia:Lingua grec koine]]
[[id:Bahasa Yunani Koine]]
[[it:Koinè]]
[[ja:コイネー]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[la:Lingua Graeca antiqua communis]]
[[mk:Коин]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nl:Koinè]]
[[nn:Koiné]]
[[no:Koiné]]
[[os:Койне]]
[[pl:Koine]]
[[pt:Koiné]]
[[ro:Limba greacă comună]]
[[ru:Койне]]
[[sh:Koine grčki]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sv:Koine]]
[[tr:Koini]]
[[uk:Койне]]
[[zh:通用希臘語]]

Pitio la 19:32, 7 Machi 2013

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha zamani kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la Kiswahili cha zamani limetokana na lugha ya Kiarabu يونان yunan na hapa ilitaja kiasili Wagiriki wa eneo la Ionia au wa kabila la Ioni walioishi kwenye pwani la mashariki la Bahari ya Aegeis.

Leo hii si kawaida sana lakini inapatikana hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia maneno "Greece, Greek" kutoka Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".