Ansgar Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha et:Püha Ansgar hadi et:Ansgar (pühak) |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza jv:Ansgar |
||
Mstari 59: | Mstari 59: | ||
[[is:Ansgar]] |
[[is:Ansgar]] |
||
[[it:Oscar di Brema]] |
[[it:Oscar di Brema]] |
||
[[jv:Ansgar]] |
|||
[[ka:ანსგარი]] |
[[ka:ანსგარი]] |
||
[[la:Anscharius (archiepiscopus Hamburgensis-Bremensis)]] |
[[la:Anscharius (archiepiscopus Hamburgensis-Bremensis)]] |
Pitio la 23:42, 11 Februari 2013
Mtakatifu Ansgar (labda 8 Septemba 801 – 3 Februari 865) alikuwa askofu kutoka Ufaransa.
Ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni 3 Februari.
Maisha
Ansgar alizaliwa Amiens (Ufaransa) mwanzoni mwa karne ya 9.
Alisoma katika monasteri huko Corbie.
Mwaka 826 alienda kuhubiri Injili nchini Denmark, ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda Uswidi.
Aliteuliwa kuwa Askofu wa Hamburg, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Pia alikuwa balozi wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi.
Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya uenezazi Injili, lakini hakukata tamaa.
Alikufa huko Bremen (Ujerumani) mwaka 865.
Tazama pia
Marejeo
- Pryce, Mark. Literary Companion to the Festivals: A Poetic Gathering to Accompany Liturgical Celebrations of Commemorations and Festivals. Minneapolis: Fortress Press, 2003.
- Tschan, Francis J. History of the Archbishops of Hamburg-Bremen. New York: Columbia University Press, 1959.
- Wood, Ian. The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050. Great Britain: Longman, 2001.
- Life of Ansgar
Viungo vya nje
- Ansgar at Birka History of Birka
- Vita Ansgari, English translation from Medieval sourcebook
- German History Forum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |