Mnandi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: vi:Họ Cốc
Mstari 148: Mstari 148:
[[tr:Karabatakgiller]]
[[tr:Karabatakgiller]]
[[uk:Баклан]]
[[uk:Баклан]]
[[vi:Chim cốc]]
[[vi:Họ Cốc]]
[[zea:Aolscholvers]]
[[zea:Aolscholvers]]
[[zh:鸕鶿]]
[[zh:鸕鶿]]

Pitio la 02:40, 27 Desemba 2012

Mnandi
Minandi kidari-cheupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Suliformes (Ndege kama ndegejinga)
Familia: Phalacrocoracidae (Ndege walio na mnasaba na minandi)
Jenasi: Phalacrocorax Brisson, 1760

Leucocarbo Bonaparte, 1855

Spishi: Angalia katiba

Minandi ni ndege wa maji wa familia Phalacrocoracidae ambao wanafanana na vibisi lakini wana mkia mrefu zaidi na domo lao ana ncha kwa kulabu. Rangi yao kuu ni nyeusi. Minandi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga matago yao kwa matawi na mimea ya maji juu ya miti au miamba. Jike huyataga mayai 3-4.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha