Kibisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kibisi
Kibisi Ushungi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Podicipediformes (Ndege kama vibisi)
Familia: Podicipedidae (Ndege walio na mnasaba na vibisi)
Bonaparte, 1831
Ngazi za chini

Jenasi 6:

Vibisi ni ndege wa maji wa familia ya Podicipedidae. Domo lao jembamba kuliko mabata lina ncha kali. Vibisi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga tago lao kwa matete linaloelea juu ya maji na hulifungia tete au mmea mwingine wa maji. Jike huyataga mayai 2-7. Kwa kawaida makinda wana milia na mara nyingi hubebwa mgongoni kwa mzazi.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]