Ndegejinga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ndegejinga
Ndegejinga kinyago
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Suliformes (Ndege kama wari)
Familia: Sulidae (Ndege walio na mnasaba na ndegejinga)
Reichenbach, 1849
Ngazi za chini

Jenasi 3:

Ndegejinga ni ndege wakubwa wa bahari wa familia Sulidae. Wana domo refu na mabawa marefu yaliyochongoka. Takriban spishi zote wana mwili mweupe na viasi mbalimbali vya nyeusi kwa mabawa na mkia. Spishi kadhaa zina namna kahawia na ndegejinga tumbo-jeupe ana rangi ya kahawa nzito na tumbo jeupe. Ndege hawa hupiga mbizi kutoka urefu mkubwa ili kukamata samaki au ngisi. Huzaa ndani ya makoloni makubwa. Jike hutaga yai moja au mayai mawili, lakini kinda atokaye kwanza katika yai lake amsukuma ndugu wake mdogo nje ya tundu. Huyu afa kwa njaa au aliwa na ndege wa aina nyingine.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Spishi za kabla ya historia[hariri | hariri chanzo]

  • Sula humeralis (kati ya Pliocene)
  • Sula sulita (Peru, mwisho wa Miocene)
  • Sula magna (Peru, mwisho wa Miocene/mwanzo wa Pliocene)

Picha[hariri | hariri chanzo]