Hasira : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeondoa: fi:Kiukku; cosmetic changes
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza sl:Jeza
Mstari 64: Mstari 64:
[[simple:Anger]]
[[simple:Anger]]
[[sk:Hnev]]
[[sk:Hnev]]
[[sl:Jeza]]
[[sq:Inati]]
[[sq:Inati]]
[[sr:Bes (emocija)]]
[[sr:Bes (emocija)]]

Pitio la 15:15, 12 Desemba 2012

Hasira ya Akile dhidi ya Agamemnon ilivyochorwa na Giovanni Battista Tiepolo.
Vilema vikuu

Hasira ni ono linalowapata binadamu na wanyama mbele ya kipingamizi.

Isiporatibiwa na mtu inaweza ikasababisha madhara makubwa, inavyofundisha mithali ya Kiswahili, "Hasira, hasara".

Ndiyo sababu inahesabiwa kati ya vilema vikuu ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.