Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: uk:Койне
Mstari 13: Mstari 13:
[[bg:Койне]]
[[bg:Койне]]
[[ca:Grec koiné]]
[[ca:Grec koiné]]
[[cs:Koiné]]
[[da:Koiné]]
[[da:Koiné]]
[[de:Koine]]
[[de:Koine]]
Mstari 24: Mstari 25:
[[gl:Koiné]]
[[gl:Koiné]]
[[he:קוינה]]
[[he:קוינה]]
[[ia:Lingua grec Koine]]
[[ia:Lingua grec koine]]
[[id:Bahasa Yunani Koine]]
[[id:Bahasa Yunani Koine]]
[[it:Koiné]]
[[it:Koiné]]
[[ja:コイネー]]
[[ja:コイネー]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[la:Dialectus Graeca Communis]]
[[la:Lingua Graeca antiqua communis]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nl:Koinè]]
[[nl:Koinè]]

Pitio la 19:48, 8 Septemba 2011

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha zamani kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la Kiswahili cha zamani limetokana na lugha ya Kiarabu يونان yunan na hapa ilitaja kiasili Wagiriki wa eneo la Ionia au wa kabila la Ioni walioishi kwenye pwani la mashariki la Bahari ya Aegeis.

Leo hii si kawaida sana lakini inapatikana hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia maneno "Greece, Greek" kutoka Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".