Furukombe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d The file Image:Stellar's_Sea_Eagle.jpg has been replaced by Image:Steller's_Sea_Eagle_-JurongBirdPark-Singapore-20081013.jpg by administrator commons:User:DieBuche: ''File renamed : The name of the bir |
d roboti Nyongeza: hsb:Kosćełamak |
||
Mstari 52: | Mstari 52: | ||
[[fr:Haliaeetus]] |
[[fr:Haliaeetus]] |
||
[[he:עיטם]] |
[[he:עיטם]] |
||
[[hsb:Kosćełamak]] |
|||
[[hu:Haliaeetus]] |
[[hu:Haliaeetus]] |
||
[[it:Haliaeetus]] |
[[it:Haliaeetus]] |
Pitio la 13:53, 11 Oktoba 2010
Furukombe | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Furukombe, fukombe, kwazi, yowe au tai mlasamaki ni ndege mbua wa jenasi Haliaeetus katika familia Accipitridae. Ndege hawa ni baina ya tai wakubwa kabisa. Uzito wao unatofautiana kutoka kg 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller). Manyoya yao yana rangi ya kahawa mpaka nyeusi lakini kichwa, mkia, kidari na tumbo ni nyeupe kufuatana na spishi. Furukombe wa Madagaska, wa Sanford na wa Ulaya wana kichwa hudhurungi. Spishi zote zinatokea karibu na maji ama baridi au ya bahari. Hula samaki hasa lakini ndege wengine, mizoga na mara kwa mara wanyama wadogo pia. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya mti au mwamba. Jike hutaga mayai 1-3.
Spishi za Afrika
- Haliaeetus vocifer, Furukombe wa Afrika (African Fish Eagle)
- Haliaeetus vociferoides, Furukombe wa Madagaska (Madagascar Fish Eagle)
Spishi za mabara mengine
- Haliaeetus albicilla (White-tailed Eagle)
- Haliaeetus leucocephalus (Bald Eagle)
- Haliaeetus leucogaster (White-bellied Sea Eagle)
- Haliaeetus leucoryphus (Pallas's Fish Eagle)
- Haliaeetus pelagicus (Steller's Sea Eagle)
- Haliaeetus sanfordi (Sanford's Sea Eagle)
Picha
-
Furukombe wa Afrika
-
Furukombe wa Madagaska
-
White-tailed eagle
-
Bald eagle
-
White-bellied sea eagle
-
Pallas's fish eagle
-
Steller's sea eagle