Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 34: Mstari 34:
[[it:Concilio di Costantinopoli I]]
[[it:Concilio di Costantinopoli I]]
[[ja:第1コンスタンティノポリス公会議]]
[[ja:第1コンスタンティノポリス公会議]]
[[ka:კონსტანტინოპოლის პირველი საეკლესიო კრება]]
[[la:Concilium Constantinopolitanum Primum]]
[[la:Concilium Constantinopolitanum Primum]]
[[lt:Konstantinopolio I susirinkimas]]
[[lt:Konstantinopolio I susirinkimas]]

Pitio la 10:13, 24 Septemba 2010

Mchoro wa mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli.

Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli ndio wa pili katika orodha ya mitaguso ya kiekumene ya Kanisa wakati wa mababu. Uliitishwa na kaisari Teodosius I ukafanyika Konstantinopoli mwaka 381.

Maaskofu 150 waliohudhuria walilaani aina mbalimbali za uzushi, hasa ule wa Masedoni wa Konstantinopoli aliyekanusha umungu wa Roho Mtakatifu, na kuthibitisha maamuzi ya mtaguso mkuu wa kwanza (Mtaguso wa kwanza wa Nisea), uliofanyika mwaka 325.

Hivyo walikiri kwamba Roho Mtakatifu pia, kama vile Yesu Mwana wa Mungu, anachanga hali ileile ya Baba.

Pamoja na hayo, walikamilisha kanuni ya imani ya Nisea ambayo kwa sababu hiyo inaitwa sasa kanuni ya imani ya Nisea-Konstantinopoli na ambayo inatumika sana hata leo katika madhehebu mbalimbali ya Ukristo, hasa katika liturujia.

Viungo vya nje