Luxemburg (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pnb:لکسمبرگ (شہر)
Mstari 43: Mstari 43:
[[am:ሉክሰምቡርግ (ከተማ)]]
[[am:ሉክሰምቡርግ (ከተማ)]]
[[ar:لوكسمبورغ (مدينة)]]
[[ar:لوكسمبورغ (مدينة)]]
[[az:Lüksemburq (şəhər)]]
[[be-x-old:Люксэмбург (горад)]]
[[be-x-old:Люксэмбург (горад)]]
[[bg:Люксембург (град)]]
[[bg:Люксембург (град)]]
Mstari 91: Mstari 92:
[[mk:Луксембург (град)]]
[[mk:Луксембург (град)]]
[[mn:Люксембург (хот)]]
[[mn:Люксембург (хот)]]
[[ms:Bandar Luxembourg]]
[[nl:Luxemburg (stad)]]
[[nl:Luxemburg (stad)]]
[[nn:Luxembourg by]]
[[nn:Luxembourg by]]

Pitio la 21:52, 5 Septemba 2009


Jiji la Luxemburg
Nchi Luxemburg
Wilaya Luxembourg
Canton Luxembourg
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 76 688

Luxemburg (Kiluxemburg: Lëtzebuerg, Kifaransa:Luxembourg; Kijerumani: Luxemburg) ni mji mkuu wa Utemi wa Luxemburg katika Ulaya ya Kati.

Mji ulikuwa na wakazi 76,420 mnamo mwaka 2005. Iko katika kusini ya nchi ambako mito ya Alzette na Pétrusse inaungana.

Mji wa Luxemburg ni kati ya miji tajiri za Ulaya. Uchumi umekua sana upande wa benki na biashara. Luxemburg ni pia moja kati ya miji mikuu ya Umoja wa Ulaya pamoja na Brussels na Strasburg. Mahakama Kuu ya Ulaya ina makao makuu hapa pia Mamlaka Kuu ya Ukaguzi wa Ulaya na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya.

Mji wa Kale ya Luxemburg iliingizwa na UNESCO katika orodha la urithi wa dunia.

Picha za mji wa Luxemburg

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Luxemburg (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA