John Fisher : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-Mkristo
d picha
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:John Fisher (painting).jpg|thumb|right|John Fisher]]
'''John Fisher''' ([[1469]] – [[22 Juni]], [[1535]]) alikuwa padre Mkatoliki kule [[Uingereza]]. Pia aliitwa ''John wa Rochester''. Pamoja na [[Thomas More]], alimkataa mfalme [[Henry VIII]] aliyejitenga na Kanisa la kikatoliki. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa ndani na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Mwaka wa 1935 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[22 Juni]] katika Kanisa la Kikatoliki, na [[6 Julai]] katika Kanisa la Anglikana.
'''John Fisher''' ([[1469]] – [[22 Juni]], [[1535]]) alikuwa padre Mkatoliki kule [[Uingereza]]. Pia aliitwa ''John wa Rochester''. Pamoja na [[Thomas More]], alimkataa mfalme [[Henry VIII]] aliyejitenga na Kanisa la kikatoliki. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa ndani na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Mwaka wa 1935 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni [[22 Juni]] katika Kanisa la Kikatoliki, na [[6 Julai]] katika Kanisa la Anglikana.

Pitio la 23:25, 26 Julai 2009

John Fisher

John Fisher (146922 Juni, 1535) alikuwa padre Mkatoliki kule Uingereza. Pia aliitwa John wa Rochester. Pamoja na Thomas More, alimkataa mfalme Henry VIII aliyejitenga na Kanisa la kikatoliki. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa ndani na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Mwaka wa 1935 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 22 Juni katika Kanisa la Kikatoliki, na 6 Julai katika Kanisa la Anglikana.

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.