Haki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Created page with 'thumb|right|140px|Haki Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano. Kwa [[Kilatini…'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Iustitia Papstgrab Bamberg aus Gottfried Henschen u Daniel Papebroch 1747.jpg|thumb|right|140px|Haki]]
[[Image:Iustitia Papstgrab Bamberg aus Gottfried Henschen u Daniel Papebroch 1747.jpg|thumb|right|140px|Haki]]
Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano. Kwa [[Kilatini]] kutokana na neno ''jus'', haki, linapatikana neno ''justus'', mwenye kujali haki, na hatimaye ''justitia'', iliyo [[adili]] la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.
Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano.

Kwa [[Kigiriki]] inaitwa ''dikaiosyne'', kutokana na neno asili ''dike'' yaani ''anayeelekeza'' na kwa hiyo pia ''mwongozo, utaratibu''. Tofauti na ''[[nomos]]'', yaani sheria inayoongoza wanyama pia, ''dike'' inahitajiwa na [[binadamu]] ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha ''bie'', ukatili, nguvu inayoangamiza. ''Dikaios'' (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. ''Dikaia zoe'' ni maisha ya kiutu yanayopingana na ''[[hybris]]'' (kiburi) na ushenzi.

Kwa [[Kilatini]] kutokana na neno ''jus'', haki, linapatikana neno ''justus'', mwenye kujali haki, na hatimaye ''justitia'', iliyo [[adili]] la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.


[[Category:Maadili]]
[[Category:Maadili]]

Pitio la 07:11, 1 Mei 2009

Haki

Haki ndiyo utaratibu unaotakiwa katika mafungamano.

Kwa Kigiriki inaitwa dikaiosyne, kutokana na neno asili dike yaani anayeelekeza na kwa hiyo pia mwongozo, utaratibu. Tofauti na nomos, yaani sheria inayoongoza wanyama pia, dike inahitajiwa na binadamu ili kuishi kwa utaratibu. Ni kinyume cha bie, ukatili, nguvu inayoangamiza. Dikaios (mwenye kujali haki), ni mtu anayemtendea kila mmoja haki yake. Dikaia zoe ni maisha ya kiutu yanayopingana na hybris (kiburi) na ushenzi.

Kwa Kilatini kutokana na neno jus, haki, linapatikana neno justus, mwenye kujali haki, na hatimaye justitia, iliyo adili la msingi la utu linalotufanta tumpatie mwingine anachostahili.