Robben Island : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
OKBot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: ar:جزيرة روبن آيلاند |
d roboti Nyongeza: zh:羅本島 |
||
Mstari 33: | Mstari 33: | ||
[[ru:Роббен]] |
[[ru:Роббен]] |
||
[[sv:Robben Island]] |
[[sv:Robben Island]] |
||
[[zh:羅本島]] |
Pitio la 05:41, 6 Aprili 2009
Robben Island ni kisiwa kidogo 12 km mbele ya mji wa Cape Town (Afrika Kusini) katika Atlantiki. Kisiwa kina eneo la hektari 547, urefu ni 4.5 km na upana hadi 1.5 km.
Kisiwa kimejulikana kutokana na gereza lake na mfungwa mashuhuri Nelson Mandela. Wafungwa pamoja naye walikuwa Walter Sisulu, Govan Mbeki na Robert Sobukwe.
Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi la kimazingira. Watimishi wanaoongoza wageni ni wafungwa wa zamani. Kipo kwenye orodha ya UNESCO ya Urithi wa Dunia.