Wolfgang Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d kuongeza alama ya Nobel na 'Category'
d robot Adding: bs:Wolfgang Pauli
Mstari 8: Mstari 8:
{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[bs:Wolfgang Pauli]]
[[ca:Wolfgang Pauli]]
[[ca:Wolfgang Pauli]]
[[cs:Wolfgang Pauli]]
[[cs:Wolfgang Pauli]]

Pitio la 08:38, 8 Agosti 2006

Wolfgang Pauli (25 Aprili 1900 – 15 Desemba 1958) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Austria. Hasa alichunguza nadharia ya Albert Einstein (Relativity Theory) na nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1925 alitangaza Kanuni ya Pauli. Mwaka wa 1945 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.