Fahrenheit : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
→‎Mifano: Please translate all of it into Swahili, because this map and file has three colored categories and legends.
Tags: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu
No edit summary
 
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Raumthermometer Fahrenheit+Celsius.jpg|thumb|300px|Thermomita inayoonyesha vizio vya Fahrenheit na Selsiasi wakati moja]]
[[Picha:Raumthermometer Fahrenheit+Celsius.jpg|thumb|300px|Thermomita inayoonyesha vizio vya Fahrenheit na Selsiasi wakati moja]]
[[File:Countries that use Fahrenheit.svg|thumb|350px|{{legend|#339933|Nchi ambako bado wanatumia Fahrenheit.}}
[[File:Countries that use Fahrenheit.svg|thumb|350px|{{legend|#339933|Nchi ambako bado wanatumia Fahrenheit.}}
{{legend|#66cc99|Countries that use both Fahrenheit and Celsius.}}
{{legend|#66cc99|Nchi zinazotumia Fahrenheit pamoja na Celsius.}}
{{legend|#cccccc|Countries that use Celsius.}}]]
{{legend|#cccccc|Nchi zinazotumia Celsius.}}]]
'''Fahrenheit''' (kikamilifu '''vizio vya fahrenheit''') ni kipimo cha [[halijoto]]. Alama yake ni '''°F'''.
'''Fahrenheit''' (kikamilifu '''vizio vya fahrenheit''') ni [[kipimo]] cha [[halijoto]]. [[Alama]] yake ni '''°F'''.


Skeli ya fahrenheit ilibuniwa 1724 na mwanafizikia [[Ujerumani|Mjerumani]] [[Daniel Gabriel Fahrenheit]]. Ilikuwa skeli ya kupima halijoto iliyotumiwa sana duniani lakini wakati wa karne ya 20 skeli ya [[selsiasi]] ilichukua nafasi yake kwa sababu inalingana na [[vipimo sanifu vya kimataifa]]. Leo hii fahrenheit hutumiwa hasa [[Marekani]] na nchi chache nyingine kama [[Belize]].
Skeli ya fahrenheit ilibuniwa 1724 na mwanafizikia [[Ujerumani|Mjerumani]] [[Daniel Gabriel Fahrenheit]]. Ilikuwa skeli ya kupima halijoto iliyotumiwa sana duniani lakini wakati wa karne ya 20 skeli ya [[selsiasi]] ilichukua nafasi yake kwa sababu inalingana na [[vipimo sanifu vya kimataifa]]. Leo hii fahrenheit hutumiwa hasa [[Marekani]] na nchi chache nyingine kama [[Belize]].

Toleo la sasa la 10:12, 23 Juni 2020

Thermomita inayoonyesha vizio vya Fahrenheit na Selsiasi wakati moja
     Nchi ambako bado wanatumia Fahrenheit.      Nchi zinazotumia Fahrenheit pamoja na Celsius.      Nchi zinazotumia Celsius.

Fahrenheit (kikamilifu vizio vya fahrenheit) ni kipimo cha halijoto. Alama yake ni °F.

Skeli ya fahrenheit ilibuniwa 1724 na mwanafizikia Mjerumani Daniel Gabriel Fahrenheit. Ilikuwa skeli ya kupima halijoto iliyotumiwa sana duniani lakini wakati wa karne ya 20 skeli ya selsiasi ilichukua nafasi yake kwa sababu inalingana na vipimo sanifu vya kimataifa. Leo hii fahrenheit hutumiwa hasa Marekani na nchi chache nyingine kama Belize.

Kwenye skeli ya fahrenheit kiwango cha kuganda kwa maji ni 32 °F na kiwango cha kuchemka kwa maji ni 212 °F. Kwa hiyo kuna vizio 180 kati ya halijoto ya maji kuganda na kuchemka. Sifuri ya fahrenheit inalingana na −17,8 °C kwenye skeli ya selsiasi.

Mifano[hariri | hariri chanzo]

  • Maji huganda kwa 32 °F na kuchemka kwa 212 °F.
  • Chumba kwa kawaida kinatakiwa kuwa na 70 °F.
  • Halijoto ya mwili wa kibinadamu uwa na 98.6 °F.
  • Sifuri halisi iko kwa –459.67 °F.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]