Korongo (Gruidae) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza jina la Kiswahili |
Badiliko la jamii |
||
Mstari 59: | Mstari 59: | ||
</gallery> |
</gallery> |
||
[[Jamii: |
[[Jamii:Korongo na jamaa]] |
Pitio la 10:39, 24 Agosti 2019
Korongo | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Korongo hawa (pia mana) ni ndege wa familia ya Gruidae wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la korongo wa familia ya Ciconiidae. Spishi nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama panya, watambaazi, amfibia au samaki, hata nafaka na matunda madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya Amerika ya Kusini.
Spishi za Afrika
- Anthropoides paradisea, Korongo Buluu (Blue Crane)
- Anthropoides virgo, Korongo Tumbo-jeusi (Demoiselle Crane)
- Balearica pavonina, Korongo-taji Mweusi (Black Crowned Crane)
- Balearica regulorum, Korongo-taji Kijivu au Ndege-chai (Grey Crowned Crane)
- Bugeranus carunculatus, Korongo Ndevu (Wattled Crane)
- Grus grus, Korongo Paji-jeusi (Eurasian or Common Crane)
Spishi za mabara mengi
- Grus americana (Whooping Crane)
- Grus antigone (Sarus Crane)
- Grus canadensis (Sandhill Crane)
- Grus japonensis (Red-crowned Crane)
- Grus leucogeranus (Siberian Crane)
- Grus monacha (Hooded Crane)
- Grus nigricollis (Black-necked Crane)
- Grus rubicunda (Brolga)
- Grus vipio (White-naped Crane)
Picha
-
Korongo buluu
-
Korongo tumbo-jeusi
-
Korongo-taji mweusi
-
Korongo-taji kijivu
-
Korongo ndevu
-
Korongo paji-jeusi
-
Whooping crane
-
Sarus crane
-
Sandhill crane
-
Red-crowned crane
-
Siberian crane
-
Hooded crane
-
Black-necked crane
-
Brolga
-
White-naped crane