Lugha za Kiitalia

Lugha za Kiitalia ni jina la kundi la lugha za kale zilizotumika hasa katika rasi ya Italia. Kundi hilo linaainishwa kama mojawapo kati ya yale ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kufikia mwanzo wa milenia ya 1 BK zote zilimezwa na Kilatini, lugha muhimu zaidi ya kundi hilo.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- TM Texts Italic A list of all Italic texts in Trismegistos.
- Michael de Vaan (2008) Etymological Dictionary of Latin and the other Italic Languages p.826, Leiden Indo-European Etymological Dictionaries Series, Brill Academic Publishers, (part available freely online)
- Tree for Italic. Linguist List, Eastern Michigan University (2010). Iliwekwa mnamo 4 April 2010.
- A Glossary of Indo-European Linguistic Terms. Institut für deutsche Sprache und Linguistik (2009). Jalada kutoka ya awali juu ya 4 December 2008. Iliwekwa mnamo 16 September 2009.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kiitalia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |