Lomami (mto)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa Mto Lomami

Lomami ni tawimto kubwa la mto Kongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wenye mwendo wa takriban km 1500.

Chanzo chake kiko katika kusini ya nchi kwenye jimbo la Katanga karibu na mji wa Kamina.

Lomami inajiunga na mto Kongo karibu na Isengi, takriban km 150 baada ya mji wa Kisangani kuelekea mdomo wa Kongo. Sehemu ya mwisho kabla ya mdomo wa Lomami inapitika kwa meli.

ramani ya Mto Lomami

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lomami (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.