Lilian Cole
Mandhari
| Lilian Cole | |
| Nchi | Nigeria |
|---|---|
| Kazi yake | Mchezaji wa mpira wa miguu |
Lilian Cole (alizaliwa 1 Agosti, 1985) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Nigeria ambaye alicheza kama beki akiwa na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria na katika michezo ya Olimpiki ya mwaka 2008. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lilian Cole kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |