Nenda kwa yaliyomo

Larry Black (mkimbiaji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Larry Black (sprinter)

Larry Jeffery "Mutt" Black (alizaliwa 20 Julai 19518 Februari 2006) alikuwa mchezaji wa mbio za kasi kutoka Marekani, mshindi wa medali ya dhahabu katika mbio za 4 × 100 m na medali ya fedha katika mbio za 200 m kwenye Michezo ya Olimpiki ya suku ya 1972 huko Munich.[1]

  1. "Larry Black Bio, Stats, and Results | Olympics at Sports-Reference.com". web.archive.org. 2020-04-17. Iliwekwa mnamo 2024-10-23.