Kituo cha reli cha Beira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kituo cha treni cha Beira,Msumbiji

Kituo cha reli cha Beira, ndicho kituo kikuu cha reli na alama muhimu ya huko Beira, Msumbiji .

Kituo cha reli ya kisasa ni sehemu ya urithi wa ukoloni wa Ureno nchini Msumbiji . Ilijengwa kati ya mwaka 1958 na 1966 na wasanifu watatu ambao ni João Garizo de Carmo, Paulo de Melo Sampaio na Francisco José Castro. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Magalhães, Ana. "Railway Station Beira, Sofala, Mozambique". Heritage of Portuguese Influence. Iliwekwa mnamo 26 November 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)