Kituo cha reli cha Beira

Kituo cha reli cha Beira, ndicho kituo kikuu cha reli na alama muhimu ya huko Beira, Msumbiji .
Kituo cha reli ya kisasa ni sehemu ya urithi wa ukoloni wa Ureno nchini Msumbiji . Ilijengwa kati ya mwaka 1958 na 1966 na wasanifu watatu ambao ni João Garizo de Carmo, Paulo de Melo Sampaio na Francisco José Castro. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Magalhães. Railway Station Beira, Sofala, Mozambique. Heritage of Portuguese Influence. Iliwekwa mnamo 26 November 2020.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |