Kisiwa cha Mfangano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wavuvi wa kisiwa cha Mfangano.

Kisiwa cha Mfangano ni kati ya visiwa vya kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya.

Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.

Ni kata ya Eneo bunge la Mbita[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]