Kisiwa Jeju

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa Jeju

Kisiwa Jeju ni kisiwa kinachopatikana kusini kwa peninsula ya Korea, katika mlangobahari wa Korea.[1]

Ndani yake mna volkeno iliyo mahali pa urithi wa dunia palipoorodheshwa na UNESCO.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kisiwa Jeju kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.