Kirumanj

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kirumanj (kwa lugha yenyewe Rumantsch, Romansch au Romanche) ni moja kati ya lugha za Kirumi na kati ya lugha nne za kitaifa nchini Uswisi pamoja na Kijerumani, Kifaransa na Kiitalia.

Kirumanj hufanana na Kiitalia.

Idadi ya wasemaji ni takriban watu 50,000 katika jimbo la Graubünden. Wasemaji wako hasa vijijini katika milima ya Alps.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kirumanj kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.