Kirukanjia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kirukanjia
Kirukanjia wa Ulaya
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Caprimulgiformes (Ndege kama virukanjia)
Familia: Caprimulgidae (Ndege walio na mnasaba na virukanjia)
Jenasi: Antrostomus Bonaparte, 1838

Caprimulgus Linnaeus, 1758
Chordeiles Swainson, 1832
Eleothreptus G.R. Gray, 1840
Eurostopodus Gould, 1838
Hydropsalis >Wagler, 1832
Lurocalis Cassin, 1851
Lyncornis Gould, 1838
Macrodipteryx Swainson, 1837
Macropsalis P.L. Sclater, 1866
Nyctidromus Gould, 1838
Nyctiphrynus Bonaparte, 1857
Nyctiprogne Bonaparte, 1857
Phalaenoptilus Ridgway, 1880
Siphonorhis P.L. Sclater, 1861
Uropsalis W. Miller, 1915
Veles Bangs, 1918

Virukanjia au mbarawaji ni ndege wa familia Caprimulgidae. Spishi nyingine zina majina kama gawa, mpasuasanda, pwaju, upapasa na rushana. Rangi yao ni kahawia au kijivu na madoa na michirizi meupe. Kuwaona ni kugumu, kwa sababu huruka usiku. Kwa kawaida watu huisikia sauti yao tu, lakini huonekana mara nyingi kwenye mwanga wa taa za mbele za gari. Huendelea kukaa chini hadi ya wakati wa mwisho kabla ya kupuruka; hii ni asili ya jina lao. Hukamata wadudu wa usiku wakiruka, kama nondo na kumbikumbi, lakini spishi kadhaa hula ndege wadogo pia. Jike huyataga mayai mawili chini.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]