Kijajuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
A: Kijajuu B: Kijachini.

Kijajuu au kijajuu cha ukurasa (kwa Kiingereza: header au page header) ni sehemu ya ukurasa ambayo ipo juu ya matini kiini. Kwa kawaida, kijajuu hutumika kukumbusha kichwa cha sura.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.