Kijachini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
A: Kijajuu B: Kijachini.

Kijachini au kijachini cha ukurasa (kwa Kiingereza: footer au page footer) ni sehemu ya ukurasa ambayo ipo chini ya matini kiini. Kwa kawaida, kijachini hutumika kujulisha namba ya ukurasa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.