Kigawa sehemu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kigawa sehemu katika kitabu kimoja.

Katika uchapaji, kigawa sehemu (kwa Kiingereza: section break) ni sehemu ya sura.

Katika utarakilishi, kigawa sehemu kinafanywa kwa programu ya kichakata matini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).