Kibonye mkato

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vibonye mkato vya Firefox kinabainisha na kimanjano.

Katika utarakilishi, kibonye mkato (kwa Kiingereza: keyboard shortcut au shortcut key) ni kibonyezo ambacho kinaamrisha programu ya tarakilishi kufanya kitendo ambacho kimepangwa katika mfumo wa uendeshaji au programu yenyewe.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.