Kheri Khatib Ameir
Mandhari
Kheri Khatib Ameir (amezaliwa Zanzibar 10 Februari 1950) ni mwanasiasa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliwahi kushiriki katika katiba ya matamwe ya mwaka 2000. Ni Mbunge katika Bunge la Tanzania. [1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Chanzo
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti ya Bunge la Tanzania
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kheri Khatib Ameir kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |