Kheri Khatib Ameir
Jump to navigation
Jump to search
Kheri Khatib Ameir (amezaliwa Zanzibar 10 Februari 1950) ni mwanasiasa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliwahi kushiriki katika katiba ya matamwe ya mwaka 2000. Ni Mbunge katika Bunge la Tanzania. [1]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Chanzo[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |