Khamis Yahya Machano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Khamis Yahya Machano ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Chaani kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania[dead link], iliangaliwa Mei 2017