Khalifa Mohammed Issa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Khalifa Mohammed Issa (amezaliwa 24 Novemba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mtambwe kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017