Khadija Shaw

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Khadija Shaw

Khadija Monifa "Bunny" Shaw (alizaliwa 31 Januari 1997)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Jamaika anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya Wanawake ya Manchester City na nahodha wa timu ya taifa ya Jamaika.

Anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Manchester City,na ndie mfungaji bora wa muda wote wa Jamaica kwa wanawake na wanaume, anashikilia rekodi ya hat trick nyingi zaidi katika WSL,[2] na alitunukiwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa CONCACAF mnamo 2022.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Khadija Shaw soccerway profile". Soccerway. Iliwekwa mnamo 13 October 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Kelsey, Lewis (March 23, 2024). "Shaw Becomes City Record Goalscorer". Manchester City. Iliwekwa mnamo March 23, 2024.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Oatway, Caroline. "Khadija Shaw: 10 things you didn't know". www.mancity.com. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Khadija Shaw kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.