Katerina Sakellaropoulou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Katerina Sakellaropulou mnamo mwaka 2020

Katerina Sakellaropoulou [1] (Kigir. Κατερίνα Σακελλαροπούλου ; alizaliwa 30 Mei 1956) ni jaji wa Ugiriki ambaye amekuwa rais wa Ugiriki tangu tarehe 13 Machi 2020. [2] Alichaguliwa na bunge la nchi kuchukua nafasi ya mtangulizi wake, Prokopis Pavlopoulos mnamo 22 Januari 2020. Kabla ya kuchaguliwa kwake kama rais, Sakellaropoulou aliwahi kuwa jaji mkuu wa Baraza la Dola ambalo ni mahakama ya juu zaidi ya utawala ya Ugiriki. Ni rais wa kwanza mwanamke nchini humo. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]